- 249 views
Watu watatu wamefariki, kumi na mmoja wameokolewa na hatima ya watu wengine sita haijulikani baada ya lori lililokuwa kusombwa na mafuriko kwenye barabara iliyoko karibu na mto Kwamuswii eneo la Sultan Hamud. Watu hao walikuwa miongoni mwa kundi la watu walioabiri lori hilo lililokuwa likisafirisha mchanga wakati mkasa huo ulipotokea. Hayo yalijiri huku mvua kubwa ikiendelea kunyesha sehemu mbali mbali humu nchini wananchi wakiimizwa kuwa waangalifu wanapovuka barabara zilizofurika. Mwanahabari wetu Nancy Okware na taarifa zaidi kuhusu tukio hilo. Tungependa kuwatahadharisha kuhusu baadhi ya picha katika taarifa hii
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Watu watatu wafariki baada ya lori kuzama mtoni
- 8 May 2024 - The Azimio La Umoja One Kenya coalition party has brushed off President William Ruto’s promise of Ksh.10,000 for every household displaced by floods in Nairobi County.
- 8 May 2024 - The United Nations voiced concern on Wednesday after dozens of cases of cholera were reported in flood-stricken Kenya.
- 8 May 2024 - Kenyans living in border, cosmopolitan, and settlement counties will no longer undergo vetting for the issuance of National Identification Cards as President William Ruto scrapped the requirement on April 8, 2024.
- 8 May 2024 - Embattled Cabinet Secretary (CS) for Agriculture Mithika Linturi has noted that he will continue to diligently serve Kenyans under his assigned docket despite a case seeking to impeach him.
- 8 May 2024 - Embattled Cabinet Secretary for Agriculture Mithika Linturi has been accused of trivialising a matter of national importance by tying his marital affairs to the ongoing push for his impeachment.
- 8 May 2024 - NAIROBI, Kenya, May 8 – Beleaguered Agriculture Cabinet Secretary Mithika Linturi has wept before Members of Parliament as he claimed that the impeachment motion against him is a revenge ploy against him by his ex-wife Maryanne Keitany. Linturi shed…
- 8 May 2024 - The proposed health facility situated on a reclaimed dump site will serve approximately 7,000 people.
- 8 May 2024 - He is accused of defiling the minor when she was 16 years old.
- 8 May 2024 - "On Monday, there were clear, visible cracks on the building and we told our landlady."
- 8 May 2024 - Friday, May 10, has been gazetted as a public holiday to mark the National Tree Growing Day.