- 296 views
Watu watatu wanauguza majeraha ya panga baada ya vurumai kuzuka wakati wa uchaguzi wa mashinani wa chama cha ODM kaunti ya Homa Bay Kulingana na kamanda wa polisi eneo la Ndhiwa John Loisa, makundi mawili yalitofautiana wakati wa uchaguzi katika shule ya msingi ya Buche na kusababisha majeraha huku mmoja akikatwa mkono. Aidha uchaguzi huo pia ulichelewa kuanza katika kaunti ya Migori. Chama cha ODM kilianza upigaji kura katika maeneo ya wadi hii leo huku uchaguzi wa wawakilishi wa bunge ukitarajiiwa kufanyika Jumatano
Watu watatu wajeruhiwa kwenye uchaguzi wa ODM mashinani kaunti ya Homa Bay
- 8 Apr 2025 - A survivor of the Kisii building collapse has shared chilling details of how he clung to life—breathing through a tiny gap in the rubble for six agonizing hours.
- 8 Apr 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has branded President William Ruto “the real commander” of Sudan's Rapid Support Forces (RSF) over alleged shady business deals with the paramilitary group’s leader, Mohamed Hamdan Dagalo, alias Hemedti.
- 8 Apr 2025 - Kenyan national women’s football team, Harambee Starlets, will be back on the pitch this evening against Ivory Coast at the Félix Houphouët-Boigny Stadium in Abidjan. Today’s match venue is familiar to Kenya, following their 2-0 loss in the first…
- 8 Apr 2025 - A French court on Monday jailed for life an Algerian supporter of the Islamic State jihadist group after finding him guilty of attempted murder over a bomb attack that wounded 13 people in 2019.
- 8 Apr 2025 - US President Donald Trump cautioned against "stupid" panic on Monday as a global stock market rout deepened after Beijing retaliated against his tariffs offensive.
- 8 Apr 2025 - Survivors of 1998 bomb blast appeal for justice, compensation
- 8 Apr 2025 - Nakhumicha: I'm clean on Sh3.5b mosquito nets supply scandal
- 8 Apr 2025 - Decades apart, Ruto's development tours echo Kanu-style platform for roadside declarations
- 8 Apr 2025 - National glory at stake as Brookside term one games kick off in Mombasa
- 8 Apr 2025 - Jitters over Trump's 10pc tariff as data shows dip in EPZ jobs