- 114 viewsDuration: 2:11Wavulana 23 wamepashwa tohara kwenye tambiko iliyofanyika kwa majuma mawili kwa jina mpango wa ushauri wa wakfu wa Njema jijini Nairobi. Mpango huo wa kikristo unaojumuisha ushauri wa kisasa na amali za kitamaduni. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive