- 178 views
Asilimia kubwa ya wazazi wa Shule ya Upili ya Wasichana ya St. Monica wameandamana mjini kitale hadi ofisi za Mkurugenzi Tume ya Huduma za Walimu, TSC na ile ya Mkurugenzi wa Wizara ya Elimu wakishinikiza mwalimu mkuu wa shule hiyo kuhamishwa huku wakikataa kuwarejesha wanafunzi wao shuleni waliotumwa nyumbani baada ya kushiriki maandamano wiki moja iliyopita.. Baadhi ya sababu zilizowachochea kuandamana ni pamoja na matokeo duni, na kuongezewa karo isiyo halali. Wazazi hao wamepokelewa na kamishna wa Kaunti hiyo, Gideon Oyagi ambaye amesema tayari maafisa wa Idara ya Upelelezi, DCI wanaendeleza uchunguzi na kutoa amri kwa wasimamizi wa elimu kaunti hiyo kuhakikisha kwamba hatua mwafaka zinachukuliwa ili masomo yasitatisike wakati huu ambapo wanafunzi wanajiandaa kwa mtihani wa kitaifa.
Wazazi shuleni St. Monica walalamikia matokeo duni na kuongezewa karo
- - 🔴 LIVE | News Now ››
- 1 Oct 2024 - Makueni Senator Dan Maanzo has filed a censure motion against President William Ruto for what he terms questionable conduct while in office.
- 1 Oct 2024 - The Senate Committee on Health is hearing a petition on medical negligence at the Moi Teaching and Referral Hospital (MTRH) which lead to the death of a child in May 2021.
- 1 Oct 2024 - The Senate Labour Committee, chaired by West Pokot Senator Julius Murgor, was forced to take action after Guyo failed to appear to answer questions about his employment status in the devolved unit.
- 1 Oct 2024 - In a fresh turn of events, prominent businessman David Langat has distanced himself from the controversial arrest of political activist Morara Kebaso.
- 1 Oct 2024 - Busia Senator Okiya Omtatah and two others have moved to court to block the roll-out of the contentious Social Health Insurance Fund (SHIF) ahead of its scheduled launch on Tuesday.
- 1 Oct 2024 - Deputy President Rigathi Gachagua will face his moment of truth on Tuesday ahead of the impeachment motion that is set to be tabled before Parliament.
- 1 Oct 2024 - The Governor explained that he gave a written response to the statement and pledged to provide more written responses but unequivocally stated that he would not be honouring any summon.
- - MP Mutuse: DP Rigathi Gachagua has used his office to unjustly enrich himself, he must go
- 1 Oct 2024 - NAIROBI, Kenya, Oct 1 – An impeachment motion against Deputy President Rigathi Gachagua has been formally tabled in Parliament, marking the beginning of the process. The motion, brought forward by Kibwezi West MP Mwengi Mutuse, accuses the DP of over 10…
- 1 Oct 2024 - The fourth suspect in the West Pokot Ksh.296 million bursary theft, Simon Kachapin Kodomuk, has been arrested in Eldoret. Kodomuk, who has been on the run to evade EACC arrest, served as Chief Officer for Education when the fraudulent scheme to embezzle…