- 17 views
Baadhi ya wazee wa jamii ya Agikuyu katika kaunti ya Kiambu wamewashutumu viiongozi waliochaguliwa katika eneo la Mlima Kenya kwa madai ya kuibua mgogoro baina ya naibu rais Rigathi Gachagua na waziri wa usalama wa kitaifa Kithure Kindiki.Wakigusia kile kilichotajwa kuwa Azma ya Nyahururu ambapo wabunge 48 kutoka eneo la Mlima Kenya walidhamiria kumtawaza Kindiki kuwa kiungo kati ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na serikali ya kitaifa, wazee hao walitahadharisha kwamba siasa za ubabe zinahujumu utoaji huduma kwa wananchi. Waliwataka wabunge kuzingatia majukumu yao ya utungaji sheria na kutathmnini utendakazi wa serikali badala ya kujihusisha na siasa za migawanyiko.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wazee wa jamii Mlima Kenya watahadharisha kuhusu migawanyiko
- - Matukio ya wiki ››
- - Jedwali la EPL ››
- 25 Apr 2025 - One person has died and two others are currently admitted at the Narok County Referral Hospital following a suspected case of chemical poisoning linked to herbicide use on a farm in Katakala area, Narok South Sub-County.
- 25 Apr 2025 - Vietnam Gas President Doanh Chau has taken a rather bold swipe at African leadership - and especially Kenya, accusing them of lacking long-term vision and a serious execution culture that continues to stall the continent’s development.
- 25 Apr 2025 - The Advocate Disciplinary Tribunal has found former Law Society of Kenya (LSK) president Nelson Havi guilty of professional misconduct.
- 25 Apr 2025 - The prime suspect in the horrific arson attack that killed nine family members on Tuesday night in Sigomere, Ugunja Sub County, Siaya County, is set to be transferred back to Ugunja, where the crime occurred.
- 25 Apr 2025 - The Director of Public Prosecutions (DPP) has urged the Kahawa Law Courts to convict and sentence two individuals linked to the 2019 Dusit D2 terror attack.
- 25 Apr 2025 - Members of Parliament are now demanding the full disclosure of Kenya’s public debt, comprehensive audit reports, and internal measures to curb corruption within the Office of the Auditor General (OAG), as concerns mount over persistent audit backlogs…
- 25 Apr 2025 - The prime suspect behind a tragic arson attack that claimed nine lives in Sigomere, Upanda village in Ugunja Sub County, Siaya County, has been arrested in Kibra, Nairobi.
- 25 Apr 2025 - The preacher explained why he believed in the ritual.
- 25 Apr 2025 - As Catholics around the world mourn Pope Francis, many Ukrainians will remember him bitterly for failing to clearly blame Russia for its invasion and calling for Ukraine to raise the "white flag".
- 25 Apr 2025 - Two years after Kenyan athletics champion Agnes Tirop was stabbed to death, the prime suspect was released on bail and promptly disappeared -- evidence, say activists, of how Kenya fails victims of gender violence.