- 3 views
Wadau katika sekta ya uchumi wanatoa wito wa kutekeleza mikakati ya kuwasaidia wanawake wajasiriamali. Akizungumza katika kongamano la kila mwaka la kiuchumi la kina mama humu nchini, mwenyekiti wa mpango wa kutetea na kuhamasisha jamii, Daisy Amdany alisisitiza kuwa licha ya wanawake kumiliki asilimia-43.1 ya biashara ndogo na za kadri, wengi wao wanakabiliwa na changamoto si haba. zikiwemo uhaba wa fedha, ukosefu wa maarifa ya kifedha na tatizo la kutolipwa kikamilifu na hivyo kuathiri ustawi wao wa kiuchumi. Wataalamu katika kongamano hilo walisisitiza haja ya kuimarisha upatikanaji wa fedha, mfumo dhabiti wa kisheria na usawa wa kijinsia pamoja na kuboreshwa kwa elimu kuhusu ujasiriamali ili kuwezesha wanawake kutambua kutumia kamili wao wa kiuchumi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Wito watolewa kuwe na mikakati ya kuwezesha wanawake
- 28 Feb 2025 - Non-state health sector players are calling on the government to live up to its obligations and fully fund primary healthcare and the emergency and critical illness funds under the Social Health Authority (SHA), to make the program sustainable.
- 28 Feb 2025 - Two people have been shot dead and ten others injured in the latest banditry attack in Samburu County.
- 27 Feb 2025 - Several people have been arrested in relation to the garbage-dumping fiasco at Kenya Power's Stima Plaza offices in Nairobi.
- 27 Feb 2025 - The promise of a job abroad for many a Kenyan youth is akin to stumbling upon an oasis in the desert.
- 27 Feb 2025 - Former Prime Minister Raila Odinga now says he will not betray Kenyans as he prepares to give a much-anticipated political direction to his supporters on Friday, on whether or not to formalize the political marriage with President William Ruto.
- 27 Feb 2025 - More than 10,000 university students and young professionals are set to benefit from the Global Management Challenge (GMC) by 2030.
- 27 Feb 2025 - National Assembly Majority Leader Kimani Ichung'wah has revealed his net worth as close to Ksh.1 billion.
- 27 Feb 2025 - HPV includes over 200 different strains, some of which cause genital warts. Two particular strains -- 16 and 18 -- are classified as high-risk for cancer. The post US study highlights success story of HPV vaccination appeared first on KBC Digital.
- 27 Feb 2025 - A section of Senators has accused the Kenya Power and Lighting Company (KPLC) of impunity, lack of accountability, and disregard for devolution, escalating tensions between the power utility and county governments.
- 27 Feb 2025 - The rebels blamed the attacks on the Kinshasa government.