- 20 views
Ulimwengu leo unasherehekea siku ya walimu huku wito ukitolewa kwao teknolojia katika mfumo wa sasa wa masomo ili wasibaki nyuma. Katika kaunti ya Machakos walimu bora wametuzwa kutokana na bidii yao ya kuleta mabadiliko katika masomo hasa katika maeneo yanayoonekana kuwa kame nchini. Walimu mia moja na kumi wametuzwa na shirika lisilo la kiserikali la kenya connect kwa kuimarisha uchu wa wanafunzi wa masomo ya teknolojia na uboreshaji wa mazingira wanayosomea. Tume ya kuajiri walimu, TSC Imekiri kwamba matumizi ya teknolojia katika mfumo wake umeimarisha utoaji wa huduma kwa walimu.
Wito watolewa kwa walimu kukumbatia teknolojia katika mfumo wa sasa wa masomo ili wasibaki nyuma.
- 7 Oct 2024 - Former Kiambu Governor William Ruto has lifted the lid on circumstances under which President William Ruto picked Rigathi Gachagua as his deputy.
- 7 Oct 2024 - The 47 Governors of Kenya are set to elect new leadership to steer the Council of Governors for the next two years.
- 7 Oct 2024 - Diana Gichengo, the national coordinator of The Institute for Social Accountability (TISA) has called for a parallel impeachment motion against President William Ruto arguing that he has also violated the Constitution.
- 7 Oct 2024 - The High Court has for the second time declined to grant orders stopping the impeachment proceedings on Deputy President Rigathi Gachagua.
- 7 Oct 2024 - The politician is one of Rigathi Gachagua's harshest critics.
- 7 Oct 2024 - A total of 69% of Mt Kenya residents are against the impeachment motion which is almost twice the national average.
- 7 Oct 2024 - Waiguru, who served in the position for the last two years, reached the end of her term.
- » Industry producers must take responsibility of their packaging material in Nairobi Rivers, says CS Duale7 Oct 2024 - Government will gazette the Extended Producer Responsibility (EPR) regulations to ensure accountability and effective implementation. This is according to the Environment, Climate Change and Forestry Cabinet Secretary Aden Duale who was speaking during a…
- 7 Oct 2024 - Political activist Morara Kebaso has narrated the insight behind the harrowing attack he experienced during a public participation exercise held at the Bomas of Kenya to debate the impeachment of Deputy President Rigathi Gachagua.
- 7 Oct 2024 - The Deputy President was accused of illegally acquiring the property using ill-acquired public wealth.