- 643 viewsMajimbo hayo ambayo ni maarufu kama ‘Swing States’ ni muhimu kushinda kuingia White House mwaka 2024. Majimbo haya yanayoshindaniwa yanashuhudia kampeni kali za kisiasa na za gharama, na wapiga kura wake wanaushawishi mkubwa katika uchaguzi huo. Kwa hivyo hili linafanyika vipi? Majimbo mengi zaidi yanatabirika kuwa mekundu au bluu (Republikan au Democratic), hivyo chaguzi zao hazina ushindani. Lakini katika swing states, matokeo ya uchaguzi yanaweza kuelemea upande wowote. Mgombea anahitaji kura za wajumbe 270 kati ya 538 kushinda urais, kawaida kuna majimbo ambayo mshindi anachukua kura zote za wajumbe. Swing states hutoa kura za maamuzi, na kuwaruhusu wagombea kuvuka kizingiti kilichowekwa. Mwaka huu, Arizona, Georgia, Michigan, Nevada, North Carolina, Pennsylvania na Wisconsin wana uamuzi nani ataingia White House. Kati yao, kuna kura za wajumbe 93 ambazo zinaweza kuelemea upande mwekendu au bluu. Majimbo haya yana kura chache za wajumbe kwa sababu ya uwiano wa karibu kati ya wapiga kura wa Republikan na Demokrat. Kuhama kwa idadi ya watu na ushindani wa maoni kati ya maeneo ya mijini na vijijini unafanya matokeo hayatabiriki. Endelea kusikiliza... #swingstates #marekani #uchaguzimkuu2024 #warepublikan #wademokratiki #wapigakura
Yafahamu majimbo maarufu kama 'Swing States' ambayo wagombea ni muhimu kushinda kuingia White House
- - Duniani Leo ››
- 21 Apr 2025 - Here are some key dates in the life of Pope Francis, the first Jesuit and Latin American pope, who died on Monday aged 88:
- 21 Apr 2025 - Pope Francis, the first Latin American leader of the Roman Catholic Church, has died, the Vatican said in a video statement on Monday.
- 21 Apr 2025 - Embakasi East Member of Parliament (MP) Babu Owino has suggested a potential joint presidential bid in 2027 with his Kiharu counterpart Ndindi Nyoro.
- 21 Apr 2025 - The former CS claims that the former Deputy President, Rigathi Gachagua, confronted the CS over his dismissal.
- 21 Apr 2025 - Pope Francis has died. Cardinal Kevin Ferrell, the Vatican camerlengo, announced that the Pope passed away on Easter Monday at the age of 88, at his residence in the Vatican’s Casa Santa Marta. “Dearest brothers and sisters, with deep sorrow I must…
- 21 Apr 2025 - A number of people are feared dead after a septic tank collapsed beneath a local football viewing hall in Bamburi Mwisho area, Nyali Constituency, Mombasa County.
- 21 Apr 2025 - He recently survived a serious bout of double pneumonia.
- 21 Apr 2025 - Pope Francis, the first Jesuit and first Latin American pontiff, has died aged 88 in Rome, Vatican officials announced on Easter Monday.
- 21 Apr 2025 - The Pope passed on at his residence in Casa Santa Marta, the Vatican confirmed on Easter Monday.
- 21 Apr 2025 - How to tackle the ‘gender play gap’: Four ways to encourage young women back into sport