- 259 viewsMajimbo hayo ambayo ni maarufu kama ‘Swing States’ ni muhimu kushinda kuingia White House mwaka 2024. Majimbo haya yanayoshindaniwa yanashuhudia kampeni kali za kisiasa na za gharama, na wapiga kura wake wanaushawishi mkubwa katika uchaguzi huo. Kwa hivyo hili linafanyika vipi? Majimbo mengi zaidi yanatabirika kuwa mekundu au bluu (Republikan au Democratic), hivyo chaguzi zao hazina ushindani. Lakini katika swing states, matokeo ya uchaguzi yanaweza kuelemea upande wowote. Mgombea anahitaji kura za wajumbe 270 kati ya 538 kushinda urais, kawaida kuna majimbo ambayo mshindi anachukua kura zote za wajumbe. Swing states hutoa kura za maamuzi, na kuwaruhusu wagombea kuvuka kizingiti kilichowekwa. Mwaka huu, Arizona, Georgia, Michigan, Nevada, North Carolina, Pennsylvania na Wisconsin wana uamuzi nani ataingia White House. Kati yao, kuna kura za wajumbe 93 ambazo zinaweza kuelemea upande mwekendu au bluu. Majimbo haya yana kura chache za wajumbe kwa sababu ya uwiano wa karibu kati ya wapiga kura wa Republikan na Demokrat. Kuhama kwa idadi ya watu na ushindani wa maoni kati ya maeneo ya mijini na vijijini unafanya matokeo hayatabiriki. Endelea kusikiliza... #swingstates #marekani #uchaguzimkuu2024 #warepublikan #wademokratiki #wapigakura
Yafahamu majimbo maarufu kama 'Swing States' ambayo wagombea ni muhimu kushinda kuingia White House
- - Duniani Leo ››
- - Fired after 766 days ››
- 18 Oct 2024 - The Kenya women’s U17 Soccer team,Junior Starlets went down 0-2 to England in their opening group C match of the ongoing FIFA U17 Women’s World Cup in Dominican Republic. England eager to stamp their authority in the game, controlled proceedings from…
- 18 Oct 2024 - The Senate has resolved to impeach Deputy President Rigathi Gachagua following a two-day exercise that entailed volumes of evidence and hours of cross-examination.
- 18 Oct 2024 - Nominated Senator Karen Nyamu has now shifted some semblance of blame to President William Ruto for choosing Rigathi Gachagua as his preferred deputy in the run-up to the 2022 elections.
- 18 Oct 2024 - Prof Kindiki’s bid has been strengthened by the recent opinion polls by Infotrak and Tifa.
- 18 Oct 2024 - The Health Cabinet Secretary Dr. Deborah Barasa has called on all Kenyans to participate in cancer prevention through early screenings and community support. Dr. Barasa emphasized the government’s dedication to expanding healthcare access and urged…
- 18 Oct 2024 - The Health Cabinet Secretary Dr. Deborah Barasa has called on all Kenyans to participate in cancer prevention through early screenings and community support. Dr. Barasa emphasized the government’s dedication to expanding healthcare access and urged…
- 18 Oct 2024 - Mutuse faces tough questions over Gachagua's wealth claims
- 18 Oct 2024 - Gachagua impeachment: How Senators voted
- 18 Oct 2024 - Gachagua falls sick as Senate prosecutes impeachment in his absence
- 18 Oct 2024 - Hospitalised but impeached; Gachagua sent home as Senate seals fate in dramatic ouster