Yahya Sinwar: Kiongozi wa Hamas aliyeuawa huko Gaza ni nani?
Yahya Sinwar, ambaye aliongoza orodha ya majina ya watu wanaotafutwa zaidi na Israeli, inadaiwa alikuwa mtu muhimu katika mashambulio ya 7 Oktoba.
Afisa mkuu wa Hamas Khalil al-Hayya amethibitisha kifo cha kiongozi wa kundi hilo na kusema kwamba aliuawa katika mapigano.
Anasema kuwa kundi hilo litaendelea na juhudi zake ili kufikia malengo ya wananchi wa Palestina na kuongeza kuwa, kifo cha Sinwar kitazidi kuimarisha kundi hilo.
#bbcswahili #gaza #hamas
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
18 Oct 2024
- The institution was closed after unrest.
18 Oct 2024
- The Affordable Housing Programme seeks to make it easier for Kenyans to own homes.
18 Oct 2024
- Gachagua was impeached on Thursday night, and barely 72 hours later, his successor will be taking charge.
18 Oct 2024
- Rigathi Gachagua stands the risk of becoming one of the shortest-serving deputy presidents in Kenya after his impeachment went through the Senate.
18 Oct 2024
- Detectives in Nairobi have arrested a suspected SIM card fraudster and recovered numerous lines and assorted mobile phones.
18 Oct 2024
- The High Court in Kerugoya has now issued orders barring Prof. Kithure Kindiki from assuming the Deputy President’s office pending the hearing and determination of a case.
18 Oct 2024
- National Assembly Speaker Moses Wetangula has gazetted Prof. Kithure Kindiki to take up the Deputy President position after the House approved his nomination.
18 Oct 2024
- Jitters on FKF elections over alleged illegitimate delegates
18 Oct 2024
- Health Ministry says SHA claims increased by Sh88M in a week
18 Oct 2024
- MPs quick nod, two court orders and fightback on dramatic Friday
18 Oct 2024
- Tech professionals urged to be inclusive in innovation
18 Oct 2024
- Tears flow as allies break down for Gachagua
18 Oct 2024
- Prayed for into office, hounded out by betrayal; this man Gachagua