- 113 views- - - - - VOA Swahili inarusha matangazo ya Duniani Leo kupitia Tovuti yetu na jukwaa la Facebook Jumatatu hadi Ijumaa tukikuletea habari mbalimbali za siasa na uchambuzi kwa lugha ya Kiswahili. Tembelea tovuti yetu voaswahili.com/duniani-leo na Makala Maalum ya Jarida la Wikiendi. Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu. Matangazo yetu yanasambazwa kupitia satellite, cable, FM na MW, na and kupitia mtandao wa vituo vya matangazo vya washirika wetu takriban 3000. Tangu kuanzishwa mwaka 1942, Sauti ya Amerika imeendelea na azma yake ya kutoa habari za kina na kuwaambia wasikilizaji wake ukweli. Tangu kipindi cha Vita Vya Pili vya Dunia, Vita Baridi, Vita dhidi ya ugaidi wa kimataifa, na juhudi za ukombozi duniani kote hivi leo VOA imekuwa mfano katika kutekeleza kanuni za vyombo vya habari huru. Jiunge na VOA Swahili: » Tembelea Tovuti Yetu: https://bit.ly/3PtyNWc »Angalia Video Zaidi za VOASwahili: https://bit.ly/3TNTiiI »Pakua VOA+ katika vifaa vya Apple : https://bit.ly/VOAPlus »Download VOA+ katika vifaa vya Android https://bit.ly/3KykriI »Tembelea Tovuti yetu: https://www.voaswahili.com/ »Upende ukurasa wetu wa Facebook: https://www.facebook.com/voaswahili »Tufuatilie katika Instagram: https://www.instagram.com/voaswahili »Tufuatilie katika X: https://twitter.com/voaswahili »Tufuatilie katika YouTube: https://www.youtube.com/@VOASwahili
ZULIA JEKUNDU - USHER RAYMOND APEWA TUZO YA MSANII MKONGWE
- 5 Feb 2025 - Prince Rahim Al-Hussaini was named the 50th hereditary Imam, or spiritual leader of the Shia Ismaili Muslims, on Wednesday following the unsealing of his father Aga Khan IV's will, the Aga Khan Development Network said in a statement.
- 5 Feb 2025 - Justus Musyimi and Martin Mwau, who went missing in December and whose bodies were recovered at Nairobi Funeral Home, died of multiple injuries in the chest, head, abdominal, and neck.
- 5 Feb 2025 - It will now be easy for residents of border counties to acquire national Identity (ID) cards after President William Ruto signed a proclamation on Wednesday scrapping a 60-year old vetting requirement.
- 5 Feb 2025 - Nearly 40,000 Kenyans whose jobs are supported by the USA government aid are staring at possible job losses following the government’s move to shut down overseas mission and merge USAID with the State Department.
- 5 Feb 2025 - African nations have been urged to take ownership of their climate action priorities in response to the escalating economic strain caused by climate shocks.
- 5 Feb 2025 - As the world mourns the spiritual leader of Ismaili Muslims and businessman His Highness the Aga Khan IV, the Kenyan media space has similarly felt a weighty dent.
- 5 Feb 2025 - Former President Uhuru Kenyatta has mourned His Highness the Aga Khan, remembering him as a close friend and confidant, a visionary leader and a philanthropist.
- 5 Feb 2025 - Private sector activity was resilient in the first month of 2025 riding on expansion on output and new orders.
- 5 Feb 2025 - Feb 5 – A local magistrate’s court on Monday remanded four suspects, including two women, in police custody for four days in connection with the rape and murder of a 21-year-old orphan girl. According to police, the initial investigation revealed that…
- 5 Feb 2025 - OLEA, a Pan African insurance broker, has announced it has reached an agreement to acquire to Marsh Uganda and Marsh Botswana, subject to approval by local authorities in both countries. The announcement follows the two companies’ successful…