Skip to main content
Skip to main content

Vyuo vikuu vyageukia teknolojia kubuni nafasi za ajira

  • | KBC Video
    99 views
    Duration: 2:04
    Vyuo vikuu vya umma vimegeukia teknolojia kukabiliana na ongezeko la idadi ya vijana wasio na ajira humu nchini. Chuo kikuu cha Jomo Kenyatta cha teknolojia na kilimo kiliandaa shindano la udukuzi lililowaleta pamoja wanafunzi kutoka taasisi 28 za elimu waliotakiwa kubuni suluhu kwa changamoto zinazokumba sekta za biashara, elimu, kilimo, afya na uongozi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive