Skip to main content
Skip to main content

Serikali yachukua hatua dhabiti za ulinzi baada ya tovuti zake kadhaa kudukuliwa

  • | KBC Video
    291 views
    Duration: 1:59
    Wizara ya usalama wa kitaifa, sasa imesema kuwa imedhibiti kikamilifu uvamizi wa mtandao uliotatiza kwa muda tovuti kadhaa za serikali. Katika taarifa yake katibu katika wizara hiyo Dr. Raymond Omollo amesema tovuti hizo zimerejeshwa na kwamba wizara hiyo inaimarisha ulinzi wa mitandao ili kuhakikisha vitisho vya mitandaoni vinagunduliwa mapema na kudhibitiwa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive