Skip to main content
Skip to main content

Mpango wa Malipo ya Kustaafu ya wafanyakazi wa KBC wapinga uamuzi wa Jaji Ocharo Kebera

  • | KBC Video
    58 views
    Duration: 1:15
    Mpango wa malipo ya uzeeni wa Wafanyakazi wa shirika la KBC unapinga uamuzi wa Jaji Ocharo Kebira uliomwelekeza afisa anayekadiria ada za mahakama kutumia kiasi kisicho sahihi cha shilingi bilioni 18 ambacho wakili Morara Omoke anadai alirejeshea hazina hiyo. Kupitia mwenyekiti wake, Martin King’asia, mpango huo uliomba ofisi ya Naibu Msajili Daniel Mbeja—ambaye ndiye afisa anayekadiria ada hizo kusikiliza hoja zao kabla ya kufanya uamuzi kuhusu swala hilo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive