Skip to main content
Skip to main content

Wanawake Kajiado waomba msaada zaidi kutoka kwa serikali

  • | KBC Video
    156 views
    Duration: 3:41
    Baadhi ya wanawake katika kaunti ya Kajiado, wametoa wito kwa serikali kuu na ile ya kaunti kutoa mgao zaidi wa ufadhili katika juhudi za kuwawezesha wanawake wanabiashara.Wakizungumza na wanhabari huko Oloitoktok, wanawake hao walio chini ya kundi la Friends of Friends Self Help, na kundi la Jirani Mwema, walielezea changamoto wanazokabiliana katika biashara ya ufugaji, ambayo inawaendeleza kimaisha. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive