Skip to main content
Skip to main content

Wakazi Sakwa wasema visa vya ubakaji vinaongezeka, serikali yahimizwa kufutiliwa mbali ada za P3

  • | KBC Video
    117 views
    Duration: 2:31
    Wakazi wa kata ya Sakwa, Kusini Magharibi mwa kaunti ya Siaya wamesema vitendo vya ubakaji vimekuwa tishio linaloongezeka, huku visa vingi vikikosa kuripotiwa kutokana na gharama kubwa za matibabu na nyaraka. Sasa wanaitaka serikali kufutilia mbali ada zote za matibabu na utayarishaji wa fomu ya P3, wakisema kuwa gharama hizo zinaendelea kuwanyima waathiriwa haki. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #KBCchannel1 #Kenya #News