Skip to main content
Skip to main content

Harun Ngarariga: Miaka 20 bila kukaa chini

  • | Citizen TV
    16,471 views
    Duration: 3:01
    Mtazamaji hebu tafakari ukiishi na ugonjwa unaokuzuia kuketi kwa takriban miongo miwili! Kile unachoweza kufanya ni kusimama au kujilaza chini. Hii ni hali halisi ya maisha ya Harun Ngarariga, mwanamume mwenye umri wa miaka 52 huko nyandarua. Harun, alipata majeraha ya uti wa mgongo na kuathirika kiasi cha kutoweza kutembea wala kuketi.