Skip to main content
Skip to main content

Kampuni ya KETRACO yaamrishwa kumrudisha kazini Wamukota

  • | Citizen TV
    93 views
    Mahakama ya Ajira jijini Nairobi imebatilisha uamuzi wa kampuni ya KETRACO wa kumsimamisha kazi Mhandisi Antony Wamukota, ikitaja hatua hiyo kuwa kinyume cha Katiba, na inayokiuka haki za msingi za mfanyakazi.