Skip to main content
Skip to main content

Watu 10 walifariki huku 6 wakijeruhiwa katika ajali ya barabarani Chabera

  • | Citizen TV
    6,159 views
    Duration: 32s
    Watu 10 wamedhibitishwa kufariki huku 6 zaidi wakiuguza majeraha mabaya baada ya ajali katika eneo la Kodada kaunti ndogo ya Rachuonyo East katika kaunti ya Homa Bay.