Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Kavunyalalo, Kilifi wapata kisima kipya

  • | KBC Video
    117 views
    Duration: 1:47
    Wakazi zaidi ya 5,000 wa kijiji cha Kavunyalalo, katika kaunti ndogo ya Malindi, kaunti ya Kilifi wamenufaika na mradi wa maji unaonuiwa kuboresha maisha yao. Mradi huo umefanikishwa na ushirikiano kati ya kampuni ya Danco Plastics na shirika la AMREF. Wakazi hao pia walipokea mabomba na vifaa vya kuunganisha maji kutoka kisima hicho hadi nyumbani na mashambani mwao. Wanasema mradi huo utawasaidia sio tu kupata maji ya kutumia nyumbani mbali pia ya kuendeleza shughuli za kilimo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive