Skip to main content
Skip to main content

Usajili wa makurutu wa jeshi waendeshwa kwa njia ya kidijitali

  • | KBC Video
    391 views
    Duration: 3:36
    Jeshi la taifa limeanzisha mfumo mpya wa kidijitali wa uajiri katika shughuli inayoendelea ya kuwasajili makurutu wa jeshi kote nchini. Akiongea wakati wa shughuli hiyo katika uwanja wa Ihura, eneo la Murang’a Mashariki, Luteni Kanali Gabriel Kotikot alisema kuwa mfumo huo mpya unawawezesha maafisa kunasa taarifa za waliotuma maombi ya ajira kwa njia ya kielektroniki na kung’amua njama za udanganyifu mara moja. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive