Skip to main content
Skip to main content

KBC yaahidi kulipa deni lake kwa mpango wa kustaafu

  • | KBC Video
    92 views
    Duration: 2:18
    MPANGO WA KUSTAAFU KBC Mpango wa kustaafu wa wafanyakazi wa shirika la utangazaji humu nchini, KBC umekabidhiwa hati miliki za nyumba za shirika hilo zilizoko kwenye mtaa wa Shauri Moyo, jijini Nairobi ambazo awali zilikuwa chini ya jina la aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa shirika hilo Mhandisi Philip Okundi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive