Skip to main content
Skip to main content

Serikali yatoa hakikisho kuhusu uadilifu wa mitihani ya kitaifa

  • | KBC Video
    94 views
    Duration: 1:41
    Katibu Mkuu katika wizara ya Elimu, Julius Bitok amewahakikishia watahiniwa wa mtihani wa sekondari msingi (KAPSEA) na wale wa Tathmini ya Elimu ya Shule ya Msingi (KJEA) kwamba wataweza kufanya mitihani yao bila tashwishi licha ya changamoto zinazoweza kutokea. Bitok amesema mitihani inaendelea vizuri na wadau wote wako makini kushughulikia changamoto ibuka kuhakikisha shughuli hiyo inaendelea kwa uadilifu, uhuru na haki. Amekariri kuwa wizara ya elimu inashirikiana na vitengo vya usalama ili kuzuia udanganyifu wowote wa mtihani. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive