Skip to main content
Skip to main content

MCAs wataka kumng’oa Sakaja ofisini wakidai pesa za Nairobi hazitumiki ipasavyo - Innocent Paluget

  • | TV 47
    247 views
    Duration: 4:58
    "Pesa nyingi zimeingia katika Kaunti ya Nairobi, ikiwemo mikopo kutoka IMF, ambazo zingesaidia kuibadilisha jiji hili kuwa la viwango vya kimataifa. Hata hivyo, haijulikani wazi fedha hizo zinavyotumika. Wajumbe wa Bunge la Kaunti (MCAs) sasa wanataka kumng’oa Gavana Sakaja wakidai kuwa fedha za kaunti hazitumiki ipasavyo, ilhali wao wanajua jinsi fedha hizo zinavyosambazwa."- Innocent Paluget, Mtaalamu wa Maendeleo na Uongozi #TV47Matukio Thank you for watching this video. Kindly subscribe for more content from 'Home of The Untold Stories.' *About TV47* 'TV47 is on GOtv (Channel 102), DStv (Channel 268), SIGNET, Gotv, BAMBA and STARTIMES. __ For Breaking News, kindly subscribe by sending ‘NEWS’ to 22047. __ Connect with us: Website: https://www.tv47.digital/ Facebook: https://www.facebook.com/TV47KE Twitter: https://twitter.com/tv47news Instagram: https://www.instagram.com/tv47ke/ TikTok: https://www.tiktok.com/@tv47_ke Telegram: https://t.me/tv47_ke WhatsApp: 0797 047 047 __