Skip to main content
Skip to main content

Shughuli katikati ya jiji la Nairobi zilisimama baada ya mwili wa Raila Odinga kuwasili kutoka India

  • | KBC Video
    337 views
    Duration: 2:25
    Shughuli katika eneo la katikati ya jiji la Nairobi zilisimama baada ya habari kuenea kuwa mwili wa Raila Odinga umewasili nchini kutoka India. Maduka yaliyokuwa yamefunguliwa asubuhi yalifungwa haraka. Kulingana na wenyeji, jiji na Kenya kwa jumla wanaomboleza, hali iliyowalazimu kufunga biashara zao ili kuungana na waombolezaji wengine kumuenzi kiongozi huyo wa taifa aliyeaga dunia. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive