Skip to main content
Skip to main content

Uhuru Kenyatta: Tulimuita ‘Baba’ kwa sababu Raila alipenda Kenya kuliko kitu kingine chochote.

  • | KBC Video
    362 views
    Duration: 1:28
    Uhuru Kenyatta: Tulimjua kwa majina tofauti, lakini kama Wakenya kutoka kona zote tulimjua na kumheshimu kama baba. Tulimuita ‘Baba’ kwa sababu Raila alipenda Kenya kuliko kitu kingine chochote. Alikuwa baba wa wote, hakuwa na ukabila na alipenda wananchi wote. #RIPRailaOdinga Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive