Skip to main content
Skip to main content

Winnie Odinga atoa simulizi ya nyakati za mwisho za baba yake.

  • | KBC Video
    805 views
    Duration: 4:52
    Mkewe aliyekuwa waziri mkuu hayati Raila Odinga Ida Odinga, ametoa wito kwa wakenya kumwomboleza kiongozi huyo kwa amani. Ida, aliyeungana na familia nyingine kumuenzi hayati Odinga, alisema hadi kufikia kifo chake, Odinga alisisitiza haja ya Wakenya kudumisha amani. Binti yake Winnie Odinga, kwa upande wake aliwasimulia wakenya kwa kifupi, nyakati za mwisho akiwa na baba yake nchini India. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive