Skip to main content
Skip to main content

Wasanii watoa rambirambi zao kwa Marehemu Raila Odinga

  • | KBC Video
    714 views
    Duration: 4:55
    Wasanii wa muziki wametumia talanta zao kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa waziri mkuu marehemu Raila Odinga, kabla ya mazishi yake hapo kesho. Humu nchini na hata nje ya Kenya, wasanii wamemkumbuka kwa mchango wake mkubwa kwenye ulingo wa siasa, na kutoa heshima kwa matendo yake ambayo ni ya kuigwa. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive