Skip to main content
Skip to main content

Afisi ya utoaji pasipoti kufunguliwa Malindi

  • | KBC Video
    68 views
    Duration: 1:26
    Serikali inapanua kufungua ofisi ya utoaji pasipoti katika mji wa Malindi mwaka ujao ili kurahisisha upatikanaji wa hati hiyo kwa wakazi wa Pwani Kaskazini. Haya yalifichuliwa na Naibu Kamishna wa Kaunti wa Malindi, David Lusava, ambaye amesema kuwa uamuzi huo unalenga kuboresha huduma hiyo hasa kwa vijana wanaotafuta ajira nje ya nchi na ambao hulazimika kusafiri hadi mjini Mombasa kupata pasipoti. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive