Skip to main content
Skip to main content

Mizozo ya viongozi yachacha Kanisa la Methodist

  • | KBC Video
    598 views
    Duration: 1:36
    Mzozo wa uongozi katika kanisa la Methodist la Changamwe katika kaunti ya Mombasa ulikithiri leo baada ya waumini kuzuiwa kuingia kanisani. Waumini waliofika kwa ibada ya kanisani walilazimika kurejea nyumbani baada ya kupata kanisa hilo likiwa limefungwa na wakazuiwa kuingia. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive