Skip to main content
Skip to main content

Mwanafunzi wa chuo kikuu ashtakiwa kwa uhalifu wa kimtandao na ulaghai wa utambulisho

  • | KBC Video
    140 views
    Duration: 1:12
    Mwanafunzi wa chuo kikuu amefikishwa katika mahakama ya Milimani jijini Nairobi na kushtakiwa kwa makosa ya kimtandao na wizi wa utambulisho. Mwanafunzi huyo kutoka chuo kikuu cha Meru mwenye umri wa miaka 22, anadaiwa kuchapisha karatasi ghushi za mitihani ya baraza la kitaifa la mitihani humu nchini KNEC kwenye mitandao, na kupatikana na vitambulisho vya kitaifa vya watu wengine. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive