Skip to main content
Skip to main content

Raila Junior ajukumishwa uongozi wa familia ya Odinga

  • | KBC Video
    102 views
    Duration: 1:31
    Raila Odinga Junior amesimikwa kuwa kiongozi wa familia ya aliyekuwa waziri mkuu na kinara wa upinzani Raila Odinga. Katika sherehe ya kitamaduni ya jamii ya Wajaluo iliyohusisha kunyolewa nywele kwa wanafamilia siku nne baada ya mazishi, Junior alikabidhiwa uongozi wa familia ya Raila. Hata hivyo wadhifa huo si wa kisiasa bali ni kuhakikisha uwazi kuhusu mkuu wa familia kwa mujibu wa mila na desturi kufuatia kifo cha baba yake. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive