Skip to main content
Skip to main content

Rais atangaza siku saba za maombolezi ya kitaifa kufuatia kifo cha Raila Odinga

  • | KBC Video
    388 views
    Duration: 4:45
    Rais William Ruto ametangaza siku saba za maombolezi kufuatia kifo cha aliyekuwa waziri mkuu, Raila Odinga. Katika tangazo rasmi lililotolewa leo katika Ikulu ya Nairobi, Rais aliagiza bendera ya taifa ipeperushwe nusu mlingoti kote nchini na katika balozi zote za Kenya nje ya nchi hadi siku ya mazishi ya Odinga. Akimtaja kama kiongozi wa kipekee na mwanamageuzi jasiri, rais Ruto alisema kuwa maisha na urathi wa Raila yataendelea kuwa mfano wa kuigwa na vizazi vijavyo. Ben Chumba anatuletea taarifa hiyo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive