Skip to main content
Skip to main content

Rais atetea sheria ya matumizi mabaya ya tarakilishi

  • | KBC Video
    70 views
    Duration: 3:40
    Rais William Ruto amejitetea kwa kutia saini mswada wa matumizi mabaya ya tarakilishi na uhalifu wa mtandaoni pamoja na miswada mingine saba kuwa sheria. Rais alisema sheria hiyo, ambayo utekelezaji wake umesitishwa kwa muda na Mahakama Kuu, unalenga kulinda watu dhidi ya unyanyasaji mtandaoni, itikadi kali za kidini na ugaidi. Alikuwa akihutubia waombolezaji kwenye mazishi ya babake Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja, Mzee Weston Kirocho Kanja, katika kaunti ya Laikipia. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive