Skip to main content
Skip to main content

Ruto: Kenya itapanda ngazi kutoka taifa linalostawi katika miaka 30 ijayo

  • | KBC Video
    478 views
    Duration: 3:47
    Rais William Ruto amesema kenya itapanda ngazi kutoka taifa linalostawi hadi taifa lililostawi katika muda wa miaka 30 ijayo. Akiongea wakati wa maadhimisho ya miaka 70 ya kanisa la African Inland, Ziwani yaliyoandaliwa katika shule ya Starehe Boys, kaunti ya Nairobi, Ruto alisema serikali yake imeweka msingi wa kuafikia hatua hii katika mwaka wa 2055. Wakati uo huo, alisema amebadilishana maono na rais mstaafu Uhuru Kenyatta, kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga na mwenyekiti wa chama cha KANU Gideon Moi ambaye hivi majuzi alijiunga na serikali jumuishi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive