Chama cha wafanyakazi wa sekta ya mawasiliano (COWU) kimetangaza mgomo wa kitaifa wa wafanyakazi wa shirika la Posta kuanziawiki ijayo, kikilalamikia kutolipwa mishahara kwa wanachama wake kwa miezi kadhaa. Kwa mujibu wa chama hicho, wafanyakazi hao wataanza mgomo Jumatatu ijayo, baada ya kutolipwa mshahara kwa miezi saba.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc
Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive