Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Mwembetsungu, Kilifi, wataka kufidiwa kwa ardhi yao na KETRACO

  • | KBC Video
    189 views
    Duration: 1:22
    Wakazi wa kijiji cha Mwembetsungu kilichoko eneo bunge la Kilifi Kusini, Kaunti ya Kilifi, waliandamana wakidai kufidiwa kwa ardhi yao iliyotwaliwa na kampuni ya kusambaza umeme, KETRACO. Wakazi hao wanadai kwamba kampuni ya KETRACO ilianzisha mradi wa umeme unaopitia kwenye ardhi yao, hatua iliyosababisha sehemu za mashamba kutumika kwa utekelezaji wa mradi huo, huku kampuni hiyo ikiahidi kuwalipa fidia baada ya miezi mitatu. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive