Watu 100 ambao walikuwa wakichimba madini kinyume cha sheria katika mgodi wa dhahabu usiofanya kazi nchini Afrika Kusini walifariki baada ya kunaswa chini ya mgodi huo kwa miezi kadhaa, huku polisi wakijaribu kuwaondoa huko, kundi linalowakilisha wachimba migodi hao lilisema Jumatatu.
Sabelo Mnguni, msemaji wa jamii zilizoathiriwa na uchimbaji madini aliliambia shirika la habari la Associated Press kwamba simu ya mkononi iliyotumwa juu ya mgodi huo na baadhi ya wachimba migodi waliookolewa siku ya Ijumaa, ilikuwa na video mbili zikionyesha miili kadhaa iliyofunikwa kwa plastiki chini ya ardhi.
Mnguni alisema “takriban watu 100 walifariki katika mgodi katika mkoa wa kaskazini magharibi ambako polisi walianzisha operesheni mwezi Novemba kuwalazimisha wachimba migodi kuondoka.
Wanashuku watu hao walikufa kwa njaa au kwa sababu ya kukosa maji mwilini, Mnguni alisema.
Alisema miili 18 iliondolewa ndani ya mgodi huo tangu Ijumaa.
Msemaji wa polisi Brigedia Sebata Mokgwabone alisema bado wanachunguza taarifa kujua ni miili mingapi iliyopatikana na ni manusura wa ngapi waliookolewa baada ya operesheni ya uokoaji kuanzishwa Jumatatu.
-AP
#Stilfontein #madini #mgodi #dhahabu #wachimbaji #afrikakusini #wachimbajiharamu #voa #voaswahili
12 Mar 2025
- Water Cabinet Secretary Eric Mugaa has attributed the stalled construction of the Thwake multi-purpose dam at the confluence of Thwake and Athi rivers on the Kitui-Makueni counties border to the Russia-Ukraine war.
12 Mar 2025
- The Pharmacy and Poisons Board (PPB) has cautioned manufacturers, distributors, wholesalers and healthcare facilities to store drugs according to the specified conditions following multiple complaints from the public over health concerns posed by low-…
12 Mar 2025
- An investigation has been launched after a Kenya Forest Service officer allegedly shot a civilian dead at Kiptunga Forest in Kuresoi South on Tuesday evening.
12 Mar 2025
- The African Union (AU), through its Peace and Security Council (PSC), has condemned the announcement by the Rapid Support Forces (RSF) and its affiliated political and social forces of the establishment of a parallel government in the Republic of Sudan…
12 Mar 2025
- Despite KFS claims that the country’s forests are not at risk, evidence on the ground paints a different picture, with vast tracts being cleared, encroached upon, and allocated for projects that undermine Kenya’s environmental and climate commitments.
12 Mar 2025
- The first time Kevin Mutua heard of Attention Deficit Hyperactivity Disorder (ADHD), he was 21. It was not in a doctor’s office or a psychology class. It was on TikTok. He had spent most of his teen life being called ‘lazy’, ‘scatterbrained’, or ‘too…