- 28 views
Shinikizo la kuligawanya eneobunge la Ruiru katika kaunti ya Kiambu limeshika kasi, gavana wa kaunti hiyo Kimani Wamatangi akiunga mkono hatua hiyo akisema idadi ya wakazi katika eneo hilo inaongezeka kwa kasi na kwa sasa imezidi watu elfu-700.Akiongea wakati wa uzinduzi wa mradi wa uwekaji taa za barabara zinazotumia kawi ya jua katika wadi za Kahawa Sukari, Kahawa Wendani, Kiuu na Mwihoko gavana wa Wamatangi alisisitiza kuwa idadi kubwa ya wakazi wa eneo la Ruiru inahitaji upanuzi wa muundo msingi. Alisema kuwa licha ya eneobunge hilo kuwa na idadi kubwa ya watu na uwezo wake wa kiuchumu, halijakuwa likipokea raslimali za kutosha kukidhi idadi ya wakazi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Pendekezo la kugawanya eneo bunge la Ruiru lashika kasi
- 6 Feb 2025 - Beneath the serenity of Manyani village, where fisherman Brian Odhiambo was brought up, a dark cloud slowly gathers.
- 6 Feb 2025 - Former Likoni DCIO Charles Onyango Ka’galo who was arrested on Tuesday for receiving Ksh.20,000 bribe has been arraigned in Mombasa.
- 5 Feb 2025 - Prime Cabinet Secretary (CS) Musalia Mudavadi says the operations of the Kenya-led Multinational Security Support (MSS) mission in Haiti won’t be jeopardised after the United States froze its financial contributions to the force through the United…
- 5 Feb 2025 - One of the police officers implicated in Rex Masai’s murder during the anti-government protests, Isaiah Muraguri, was arraigned on Wednesday together with former Nairobi Police Commander Adamson Bungei, who is the current director of police operations.
- 5 Feb 2025 - Prince Rahim Al-Hussaini was named the 50th hereditary Imam, or spiritual leader of the Shia Ismaili Muslims, on Wednesday following the unsealing of his father Aga Khan IV's will, the Aga Khan Development Network said in a statement.
- 5 Feb 2025 - Justus Musyimi and Martin Mwau, who went missing in December and whose bodies were recovered at Nairobi Funeral Home, died of multiple injuries in the chest, head, abdominal, and neck.
- 5 Feb 2025 - It will now be easy for residents of border counties to acquire national Identity (ID) cards after President William Ruto signed a proclamation on Wednesday scrapping a 60-year old vetting requirement.
- 5 Feb 2025 - Prince Rahim is the eldest son of the late Prince Karim Aga Khan.
- 5 Feb 2025 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has stated that the recent reduction in U.S. funding will not negatively impact the Kenya-led Multinational Security Support Mission (MSS) in Haiti. Mudavadi, who also serves as Kenya’s Foreign and Diaspora…
- 5 Feb 2025 - Nearly 40,000 Kenyans whose jobs are supported by the USA government aid are staring at possible job losses following the government’s move to shut down overseas mission and merge USAID with the State Department.