Mabaki ya miili ya walinda amani 14 wa Afrika Kusini waliouwawa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imerejeshwa nchini Alhamisi iliwasili katika Kituo cha Jeshi la Anga la Swartkop mjini Pretoria.
Wanajeshi hao walifariki mwezi uliopita wakati wa mapigano kati ya jeshi la DRC na waasi wa M23 ambapo walipelekwa huko kwa kazi maalum ya ulinzi wa amani.
Majeneza ya wanajeshi hao yalifunikwa bendera za Afrika Kusini na yalibebwa na wanajeshi wa Jeshi la Anga kabla yakukabidhiwa kwa familia zilizo kuwa zikiomboleza vifo vyao.
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa aliwaambia ndugu wenye huzuni wakati wa maombolezo hayo, “sisi kama raia wa Afrika Kusini tunawaona marehemu kuwa ni mashujaa wa taifa letu.
"Majukumu yao huko DRC yalikuwa siyo tu kuimarisha utulivu. Ilikuwa ni kuhusu kujenga madaraja, kujenga amani, kuimarisha maelewano na kufungua njia mbalimbali za kuleta amani ya kudumu katika kanda yetu na bara letu,” - AP
#drc #congo #m23 #reels #voa
12 Mar 2025
- Water Cabinet Secretary Eric Mugaa has attributed the stalled construction of the Thwake multi-purpose dam at the confluence of Thwake and Athi rivers on the Kitui-Makueni counties border to the Russia-Ukraine war.
12 Mar 2025
- The Pharmacy and Poisons Board (PPB) has cautioned manufacturers, distributors, wholesalers and healthcare facilities to store drugs according to the specified conditions following multiple complaints from the public over health concerns posed by low-…
12 Mar 2025
- An investigation has been launched after a Kenya Forest Service officer allegedly shot a civilian dead at Kiptunga Forest in Kuresoi South on Tuesday evening.
12 Mar 2025
- The African Union (AU), through its Peace and Security Council (PSC), has condemned the announcement by the Rapid Support Forces (RSF) and its affiliated political and social forces of the establishment of a parallel government in the Republic of Sudan…
12 Mar 2025
- Despite KFS claims that the country’s forests are not at risk, evidence on the ground paints a different picture, with vast tracts being cleared, encroached upon, and allocated for projects that undermine Kenya’s environmental and climate commitments.
12 Mar 2025
- The first time Kevin Mutua heard of Attention Deficit Hyperactivity Disorder (ADHD), he was 21. It was not in a doctor’s office or a psychology class. It was on TikTok. He had spent most of his teen life being called ‘lazy’, ‘scatterbrained’, or ‘too…