- 109 views
Waziri wa Afya Dkt. Deborah Barasa leo alikabiliwa na wakati mgumu katika bunge la Seneti wakati maseneta walipotaka kufahamishwa kuhusu kujiandaa kwa serikali kutekeleza huduma ya afya ya Taifa CARE na halmashauri ya afya ya jamii-SHA. Waziri alijipata taabani kuelezea athari za kujiondoa kwa hospitali za kibinafsi na zile za kidini kutoka kwa halmashauri ya SHA, kutengwa kwa wafanyikazi wa serikali kutoka kwa vituo vya afya vya kibinafsi na changamoto za mara kwa mara za ufadhili zinazotishia ufanisi wa mpango huo. Kikao hiki kinawadia huku wananchi wakiendelea kulalamika kuhusu utendakazi wa SHA.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Waziri wa afya ajipata pagumu bungeni kueleza utekelezaji wa SHA
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 27 Feb 2025 - People’s Liberation Party (PLP) Party Leader Martha Karua has opined that Raila Odinga’s association with President William Ruto is what led to his defeat at the African Union Chairmanship election.
- 27 Feb 2025 - People’s Liberation Party (PLP) leader Martha Karua has revealed that she is working with former Deputy President Rigathi Gachagua to unseat President William Ruto in the 2027 General Election.
- 27 Feb 2025 - NARC Kenya party leader Martha Karua has raised concerns over the presence of Sudan’s Rapid Support Forces (RSF) in Nairobi, sensationally questioning whether President William Ruto intends to use them to maintain power.
- 27 Feb 2025 - President Vladimir Putin hosted Guinea-Bissau President Umaro Sissoco Embalo for talks in the Kremlin on Wednesday, the latest sign of a drive by Moscow to build up economic and security relationships with countries in west and central Africa.
- 27 Feb 2025 - Sakaja's stinking mess as City Hall and Kenya Power tussle over debts
- 27 Feb 2025 - Officers left in the dark as plan to change police uniform stalls
- 27 Feb 2025 - Senators take on Barasa over SHA failures, demand value for money
- 27 Feb 2025 - 99,338 students with C plus may not go to university
- 27 Feb 2025 - Gachagua: Raila won't help Ruto in 2027 elections
- 27 Feb 2025 - DPP faces ouster bid over withdrawal of death threat case