- 246 views
Naibu rais Kithure Kindiki amepuuza madai ya kuwepo kwa ushindani wa kisiasa katika ngome yake ya Mlima Kenya, akikariri kujitolea kwake katika ujenzi wa taifa. Akihutubia mkutano katika kaunti ya Tharaka Nithi, Kindiki alisisitiza kwamba anaangazia miradi muhimu itakayolinufai eneo hilo, wala hayumbishwi na wakosoaji wa serikali. Kindiki aliufafanulia umati uliohudhuria mkutano huo kuhusu mipango ya serikali kwa eneo hilo kama vile ujenzi wa barabara, usambazaji wa umeme na ustawi wa kilimo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Kindiki apuuza madai ya ushindani wa Kisiasa eneo la Mlima Kenya
- 1 Mar 2025 - President Donald Trump will sign an executive order to make English the official U.S. language, a source with knowledge of the matter said on Friday.
- 1 Mar 2025 - Democratic Republic of Congo's government and Rwandan-backed M23 rebels traded blame on Friday for several explosions at a rally in the rebel-held eastern city of Bukavu that killed 13 people and wounded scores of others the previous day.
- 1 Mar 2025 - President William Ruto has dismissed Martha Karua’s People’s Liberation Party (PLP) and the declared unity among Opposition leaders aimed at dislodging him in 2027. Speaking during a tour of Taita Taveta, President Ruto called out his political opponents…
- 1 Mar 2025 - Orange Democratic Movement (ODM) party leader Raila Odinga says he is set to wind up his public consultations before giving a way forward for the ODM party.
- 1 Mar 2025 - Recurring audit queries expose MPs as weak link in public funds control
- 1 Mar 2025 - How petition to oust top judges could raise a legal conundrum
- 1 Mar 2025 - How 'fear of democracy' cost Raila AUC seat
- 1 Mar 2025 - Lessons from protests seeking release of Besigye
- 1 Mar 2025 - Raila leaves supporters guessing yet again
- 1 Mar 2025 - Looming danger as residents live on petrol pipes