- 9 views
Maafisa katika kaunti ya Kilifi wamenusuru watoto-30 kutoka kituo kimoja cha malezi ya watoto kinachosimamiwa na mume na mke kwa madai ya kutokuwa na kibali kinachohitajika. Wakiongozwa na naibu kamishna wa kaunti ndogo ya Malindi Irene Munyoki na afisa mkuu wa masuala ya watoto katika kaunti hiyo Sebastian Muteti, kundi hilo la maafisa lilielekea kwenye kituo hicho na kukifunga kufuatia malalamiko kutoka kwa wananchi. Wamiliki wa kituo hicho wanazuiliwa katika kituo cha polisi cha Malindi. Watoto waliookolewa wamepatiwa hifadhi katika makai ya watoto yalioko Sabaki huku juhudi zikiendelea za kuwaunganisha na jamaa zao.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Hifadhi haramu : Watoto-30 wanusuriwa
- 4 Mar 2025 - The Social Health Insurance Fund (SHIF) is at risk of collapse in the next 12 months if the current model is maintained.
- 4 Mar 2025 - Sexual Reproductive Health is defined by the United Nations Population Fund (UNFPA) as a state of complete physical, mental, and social well-being in all aspects related to the reproductive system.
- 4 Mar 2025 - To bridge this divide, the government, through the Ministry of ICT and the Digital Economy has outlined a plan to enhance inclusivity through digital infrastructure, digital services and data management, digital skills, data innovation, entrepreneurship…
- 4 Mar 2025 - The Kiambu County government has completed 247 new Early Childhood Development Education (ECDE) centres, Governor Kimani Wamatangi has revealed.
- 4 Mar 2025 - The new laws will be implemented in partnership with the NTSA.
- 4 Mar 2025 - This comes barely a month after the operation was launched on February 3.
- 4 Mar 2025 - The 88-year-old Argentine pontiff, head of the Catholic Church since 2013, "slept all night long and continues to rest" following Monday's crisis, the Holy See said.
- 4 Mar 2025 - NCIC issued Gachagua with a notice of cessation on Monday.
- 4 Mar 2025 - A 73-year-old Dutch national, convicted on 10 counts of various offences of child pornography, sexual communication with a child, indecent act with a child, and child abuse, has been jailed for ten years and fined Ksh 3 million. In addition to the prison…
- 4 Mar 2025 - Allies of former Deputy President Rigathi Gachagua have castigated the National Cohesion and Integration Commission (NCIC) for reprimanding the former DP over his utterances in Meru County.