Vita: Wachambuzi wa kisiasa na ulinzi waeleza nini lengo la Putin
Wakati viongozi wa Umoja wa Ulaya wakijiandaa kwa mazungumzo ya dharura kuhusu misaada ya kijeshi baada ya utawala wa Trump kusitisha msaada wake kwa Ukraine, wataalam kadhaa wa Russia wanasema kuwa Moscow inajitahidi kuvuruga mshikamano wa Magharibi.
Kufuatia majibizano ya wiki iliyopita huko White House kati ya viongozi wa Marekani na wale wa Ukraine, msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov, Jumatatu aliilaumu Ulaya kwa kuendeleza vita hivyo, akiongeza kuwa marekebisho kwenye sera za mambo ya nje za Marekani kwa sehemu kubwa zinaendana na mtazamo wa Moscow.
Maoni hayo yamekuja kabla ya kuanza kwa mkutano wa fedha wa Umoja wa Ulaya Alhamisi ukilenga kuimarisha usalama wa bara hilo pamoja na msaada kwa Ukraine ambayo kwa miongo kadhaa imekuwa ikitegemea msaada wa ulinzi kutoka Marekani.
Kwenye mahojiano ya hivi karibuni na gazeti la kijeshi la Krasnaya Zvezda, Waziri wa Mambo ya nje wa Russia Sergey Lavrov alimtaja rais Trump kama “ mtu anayeangalia masuala kwa kina” na kwamba kauli mbiu yake ni “tumia akili.” Alisema kwamba majanga yote ya dunia kwa zaidi ya miaka 500 iliyopita yalianzia au kufanyika Ulaya kutokana na sera zao wakati Marekani ikiwa haijahusika.
#trump #zelenskyy #ukraine #russia #voa #makamurais #jdvance #msaada
31 Mar 2025
- The publication claimed that there were reports of former Mungiki leader Maina Njenga's involvement in mobilisation efforts.
31 Mar 2025
- Wetangula advised that despite the order being made in the northern region, it affected all Kenyans.
31 Mar 2025
- The AU chair released a statement on Monday, days after Raila's attempts to mediate in the nation suffered a setback.
31 Mar 2025
- Former Deputy President Rigathi Gachagua has asked President William Ruto to launch his new projects in the Mount Kenya region and stop what he calls riding on his predecessor Uhuru Kenyatta’s old projects.
31 Mar 2025
- The head of the junta in Burkina Faso has pardoned 21 soldiers convicted of involvement in a failed coup in 2015, according to an official decree seen by AFP on Monday.
31 Mar 2025
- The publication claimed that there were reports of former Mungiki leader Maina Njenga's involvement in mobilisation efforts.
31 Mar 2025
- Police were out in force and businesses and offices closed in key Zimbabwe cities after authorities warned against demonstrations called for Monday to demand that President Emmerson Mnangagwa leave power.
31 Mar 2025
- Ruto's five-day tour of Mt Kenya development tour is expected to start on April 1.
31 Mar 2025
- Over the last four days, Gachagua has emerged into the political arena after weeks of a short break.
31 Mar 2025
- Wetangula advised that despite the order being made in the northern region, it affected all Kenyans.
31 Mar 2025
- The AU chair released a statement on Monday, days after Raila's attempts to mediate in the nation suffered a setback.
31 Mar 2025
- Ipomea: Kajiado steps up efforts to eliminate dangerous weed
31 Mar 2025
- Kenya issues advisory alert on Myanmar earthquake