- 141 views
Muungano wa wasomi Kaunti ya Samburu,umeitaka Serikali kukomesha visa vya wizi wa mifugo katika kaunti hiyo, mbali na kutafuta mbinu za kuwafidia wale walioathirika na uvamizi.Aidha wametoa wito Kwa viongozi wa eneo hilo kuwa kwenye mstari wa mbele kurejesha utulivu na amani ya kudumu.
Wasomi wa Samburu wataka doria kuimarishwa
- - Duniani Leo ››
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 18 Mar 2025 - Kenya pulls plug on Sh301b IMF deal amid hunt for new bailout
- 18 Mar 2025 - Why dollar-denominated money market funds have set Kenya abuzz
- 18 Mar 2025 - With powerful forces against her, Mwangaza did not stand a chance
- 18 Mar 2025 - KICC renovated for Sh1.9 billion, Senate told
- 18 Mar 2025 - PS: Private hospitals risk shutdown for denying SHA services
- 18 Mar 2025 - Trump offers a flicker of hope for Kenya's oil project
- 18 Mar 2025 - Kenya to seek a new IMF agreement
- 18 Mar 2025 - Police say he attempted suicide and died in hospital while receiving treatment, but his girlfriend denies the claim.
- 18 Mar 2025 - The DP has been holding meetings with delegations from various counties at his Karen residence as he takes charge of reviewing the charters.
- 18 Mar 2025 - Experts say it will improve school attendance and nutrition while strengthening the local dairy value chain.