- 43 views
Viongozi wa Kidini kaunti ya Bungoma wamemkashfu Rais William Ruto kwa kuendeleza Kampeni ya Mapema miaka miwili kabla ya Uchaguzi wa mwaka 2027. Viongozi hao wamemtaka rais kuwaongoza wale wanaoandamana naye kwenye kampeni hizo kuwajibikia majukumu yao badala ya kufanya siasa kila wakati. Aidha viongozi hao pia wametaja ushirikiano wa Rais William Ruto na Kinara wa ODM Raila Odinga kama unafiki.
Viongozi wa kidini wataka siasa za uchaguzi kusitishwa
- - Duniani Leo ››
- 18 Mar 2025 - South Sudan said on Monday it had carried out air strikes against rebels in the northwest of the country as hostilities escalated.
- 18 Mar 2025 - Why dollar-denominated money market funds have set Kenya abuzz
- 18 Mar 2025 - With powerful forces against her, Mwangaza did not stand a chance
- 18 Mar 2025 - Kenya pulls plug on Sh301b IMF deal amid hunt for new bailout
- 18 Mar 2025 - KICC renovated for Sh1.9 billion, Senate told
- 18 Mar 2025 - PS: Private hospitals risk shutdown for denying SHA services
- 18 Mar 2025 - Trump offers a flicker of hope for Kenya's oil project
- 18 Mar 2025 - Kenya to seek a new IMF agreement
- 18 Mar 2025 - The DP has been holding meetings with delegations from various counties at his Karen residence as he takes charge of reviewing the charters.
- 18 Mar 2025 - Experts say it will improve school attendance and nutrition while strengthening the local dairy value chain.