- 174 views
Hatua hiyo inalenga kuwawezesha wakulima kupata pembejeo kwa wakati unaofaa msimu wa upanzi ukikaribia. Akizungumza huko Chepseon eneo bunge la Kipkelion Mashariki wakati wa ufunguzi wa sehemu ya uzambasaji wa mbolea, katibu katika wizara ya kilimo Dkt.Paul Ronoh ametangaza kuwa mpango huo utaendelea kwa muda wa miezi miwili ili kuwasaidia wakulima kuzalisha vyakula na kuleta utoshelevu wa lishe nchini. Aidha serikali imetoa ruzuku kwa kampuni ya kuzalisha mbegu za mahindi ili kuwezesha uzalishaji wa mbegu za kutosha na kuhakikisha kuwa wakulima wanapata mbegu kwa bei nafuu.
Wakulima kusambaziwa magunia milioni mbili za mbolea
- - special olympics ››
- - Duniani Leo ››
- 18 Mar 2025 - The Catholic church in Homa-Bay has locked horns with the National government over the ownership of a piece of land which the Church accuses the State of encroaching into for the construction of a state Lodge.
- 18 Mar 2025 - Butch Wilmore and Suni Williams flew to the orbital lab in June last year, on what was supposed to be a days-long roundtrip to test out Boeing's Starliner on its first crewed flight.
- 18 Mar 2025 - At least seven people died Monday when a small plane crashed into the sea while taking off from the Honduran Caribbean island of Roatan.
- 18 Mar 2025 - Remarks by South Africa's ambassador to the United States about President Donald Trump were "unacceptable," a State Department spokesperson told reporters on Monday after Washington last week made the decision to expel the envoy.
- 18 Mar 2025 - The Public Service Commission (PSC) has shortlisted five candidates for the position of Vice Chancellor at the University of Nairobi (UoN). They are Prof. James Njiru, Prof. Duke Orata, Prof. Bitange Ndemo, Eng. Prof. Ayub Njoroge Gitau and Prof.…
- 18 Mar 2025 - South Sudan said on Monday it had carried out air strikes against rebels in the northwest of the country as hostilities escalated.
- 18 Mar 2025 - Why dollar-denominated money market funds have set Kenya abuzz
- 18 Mar 2025 - With powerful forces against her, Mwangaza did not stand a chance
- 18 Mar 2025 - Kenya pulls plug on Sh301b IMF deal amid hunt for new bailout
- 18 Mar 2025 - KICC renovated for Sh1.9 billion, Senate told