- 174 views
Hatua hiyo inalenga kuwawezesha wakulima kupata pembejeo kwa wakati unaofaa msimu wa upanzi ukikaribia. Akizungumza huko Chepseon eneo bunge la Kipkelion Mashariki wakati wa ufunguzi wa sehemu ya uzambasaji wa mbolea, katibu katika wizara ya kilimo Dkt.Paul Ronoh ametangaza kuwa mpango huo utaendelea kwa muda wa miezi miwili ili kuwasaidia wakulima kuzalisha vyakula na kuleta utoshelevu wa lishe nchini. Aidha serikali imetoa ruzuku kwa kampuni ya kuzalisha mbegu za mahindi ili kuwezesha uzalishaji wa mbegu za kutosha na kuhakikisha kuwa wakulima wanapata mbegu kwa bei nafuu.
Wakulima kusambaziwa magunia milioni mbili za mbolea
- - Duniani Leo ››
- - 🔴LIVE | TV47 MATUKIO ››
- 18 Mar 2025 - South Sudan said on Monday it had carried out air strikes against rebels in the northwest of the country as hostilities escalated.
- 18 Mar 2025 - Why dollar-denominated money market funds have set Kenya abuzz
- 18 Mar 2025 - With powerful forces against her, Mwangaza did not stand a chance
- 18 Mar 2025 - Kenya pulls plug on Sh301b IMF deal amid hunt for new bailout
- 18 Mar 2025 - Trump offers a flicker of hope for Kenya's oil project
- 18 Mar 2025 - KICC renovated for Sh1.9 billion, Senate told
- 18 Mar 2025 - PS: Private hospitals risk shutdown for denying SHA services
- 18 Mar 2025 - Kenya to seek a new IMF agreement
- 18 Mar 2025 - Police say he attempted suicide and died in hospital while receiving treatment, but his girlfriend denies the claim.
- 18 Mar 2025 - The DP has been holding meetings with delegations from various counties at his Karen residence as he takes charge of reviewing the charters.