- 174 views
Hatua hiyo inalenga kuwawezesha wakulima kupata pembejeo kwa wakati unaofaa msimu wa upanzi ukikaribia. Akizungumza huko Chepseon eneo bunge la Kipkelion Mashariki wakati wa ufunguzi wa sehemu ya uzambasaji wa mbolea, katibu katika wizara ya kilimo Dkt.Paul Ronoh ametangaza kuwa mpango huo utaendelea kwa muda wa miezi miwili ili kuwasaidia wakulima kuzalisha vyakula na kuleta utoshelevu wa lishe nchini. Aidha serikali imetoa ruzuku kwa kampuni ya kuzalisha mbegu za mahindi ili kuwezesha uzalishaji wa mbegu za kutosha na kuhakikisha kuwa wakulima wanapata mbegu kwa bei nafuu.
Wakulima kusambaziwa magunia milioni mbili za mbolea
- - special olympics ››
- - Duniani Leo ››
- - Duniani Leo ››
- 18 Mar 2025 - The Public Service Commission (PSC) has shortlisted five candidates for the position of Vice Chancellor at the University of Nairobi (UoN). They are Prof. James Njiru, Prof. Duke Orata, Prof. Bitange Ndemo, Eng. Prof. Ayub Njoroge Gitau and Prof.…
- 18 Mar 2025 - South Sudan said on Monday it had carried out air strikes against rebels in the northwest of the country as hostilities escalated.
- 18 Mar 2025 - Jubilations and celebrations rocked Meru County as Deputy Governor Isaac Mutuma took the oath of office as the fourth Governor of the devolved unit. His elevation follows the High Court’s move to uphold the impeachment of the embattled governor Kawira…
- 18 Mar 2025 - Members of the County Assemblies (MCAs) yesterday rejected Cabinet Minister Salim Mvurya’s attempts to address them on behalf of President William Ruto. The MCAs who are attending the County Assembly Forum 5th Legislative Summit at the Edge Convention…
- 18 Mar 2025 - Nduta was on March 6, this year, sentenced to death by lethal injection after she was found guilty of trafficking 2 kilogrammes of cocaine.
- 18 Mar 2025 - King Willem-Alexander and Queen Máxima of the Netherlands have arrived in Kenya for a State Visit at the invitation of President William Ruto. The royal couple was welcomed at Jomo Kenyatta International Airport in Nairobi on Monday, March 17, 2025, by…
- 18 Mar 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has called on MPs from the Mt Kenya region to oppose an alleged bid by President William Ruto to replace 15 Principal Secretaries from the area with those fronted by Raila Odinga. Gachagua claimed that Ruto…
- 18 Mar 2025 - How a €6 million Kenya-Finland program turned tradition keepers into women's rights defenders.
- 18 Mar 2025 - Residents say militants called some villagers by their names, thus raising suspicions.
- 18 Mar 2025 - Senators accuse the two agencies of unfairness in the allocation of funds, and demand to know the criteria used.