- 25 views
Serikali imehimizwa kutenga za kuwawezesha vijana kuwa msitari wa mbele katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya anga. Akiongea kwenye mkutano uliowaleta pamoja vijana katika kaunti ya Nairobi, mwenyekiti wa baraza la kitaifa la ushauri kwa vijana, Brenda Aluoch alisema ukosefu wa mifumo dhabiti ya kusaidia vijana, uhaba wa ufadhili na taarifa zinazohitajika kuhusu nafasi zilizopo vimedumiza juhudi za vijana kushiriki kikamilifu kwenye miradi ya kukabiliana na athari za tabianchi.Aidha vijana walihimiza serikali kuweka mikakati ya kukabiliana na majanga hasa wakati huu wa mvua ya masika wakisema ajenda ya vijana inapaswa kushirikishwa katika mpango jumuishi wa kukabiliana na mabadiliko ya hali ya anga
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Ushirikishi wa vijana kwenye miradi ni muhimu kwa kudhibiti tatizo la tabianchi
- 22 Mar 2025 - The Social Health Authority (SHA) has shortlisted 12 individuals for the Chief Executive Officer (CEO) position.
- 22 Mar 2025 - Heathrow Airport said it was "fully operational" on Saturday but delays and cancellations were expected as Europe's busiest air hub resumed operations after a power station fire caused travel mayhem.
- 22 Mar 2025 - Hundreds of Super Metro vehicles flagged for non-compliance with transport regulations have lined up for urgent inspections.
- 22 Mar 2025 - The Head of Public Service Felix Koskei has issued a stern warning to those propagating banditry in the North Rift region terming it a criminal activity that has derailed development in the region.
- 22 Mar 2025 - President William Ruto is back in the country after attending the inauguration of Namibia's new Head of State, Netumbo Nandi-Ndaitwah, in the capital, Windhoek.
- 22 Mar 2025 - NPSC commissioners caution their successors to be wary of a coup by senior police officers.
- 22 Mar 2025 - Former Cabinet Secretary Raphael Tuju has penned a third consecutive letter to Chief Justice Martha Koome, citing grave concerns regarding the conduct of five Supreme Court Judges in executing their duties.
- 22 Mar 2025 - While criticising Nancy Macharia, the government official called for an immediate halt of the process.
- 22 Mar 2025 - Machakos Woman Representative Joyce Kamene Kasimbi has called on Speaker Moses Wetangula to respect the court's verdict on Azimio being the majority in Parliament.
- 22 Mar 2025 - Soup that is made by boiling animal bones