- 59 views
Marufuku ya uchimbaji madini katika matimbo ya Jaribuni kwenye kaunti ya Kilifi iliyowekwa na waziri Hassan Joho majuma matatu yaliyopita sasa inatishia kulemaza sekta ya ujenzi katika eneo hilo. Kamishna wa kaunti ya Kilifi Joseph Biwott anasema miradi iliyoathiriwa zaidi ni pamoja na ujenzi wa barabara kuu ya Mombasa-Malindi, daraja la Mtwapa, miradi ya ujenzi wa nyumba za bei nafuu na ujenzi wa madarasa ya gredi ya tisa miongoni mwa miradi mingine.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Sekta ya ujenzi Kilifi yalalamika
- 25 Mar 2025 - Women leaders have defended Nakuru Governor Susan Kihika from public criticism over her conspicuous absence from the county's affairs in recent months.
- 25 Mar 2025 - The High Court has put a stop to any further investigations into the operations of Nairobi Hospital.
- 25 Mar 2025 - Shabiki.com made a significant impact in Tiaty Constituency, Baringo County, by donating 10,000-litre water tanks to various schools in the region.
- 25 Mar 2025 - The US is one of the countries where AI was used in the 2024 elections to enhance campaign efficiency and inclusivity.
- 25 Mar 2025 - Mudavadi has been part of the leaders who represent Kenya in international talks.
- 25 Mar 2025 - Turkana Central deputy county commissioner Thomas Siele underscored the importance of enrolling to SHA
- 25 Mar 2025 - The rejected exports were worth over Ksh100 million.
- 25 Mar 2025 - This followed concerns some of those in the unit could be having trauma-related challenges, which need immediate attention.
- 25 Mar 2025 - Former FIFA heads Blatter and Platini cleared of fraud charges again
- 25 Mar 2025 - KUCCPS also outlined the procedure for sending an application.