- 182 views
Kamanda wa polisi eneo la Pwani Ali Nuno ametoa tahadhari kwa magenge ya wahalifu wanaowahangaisha wakazi wa Likoni. Akizungumza katika ukumbi wa LICODEP huko Mombasa wakati alipokea vijana 100 walioasi uhalifu, Nuno aliapa kuwakabili wahalifu kikamilifu kwa kutumia mkono mrefu wa sheria. Kwingineko, Maafisa wa utawala wa ngazi za juu katika eneo bunge la Kiharu kaunti ya Murang'a wako kwenye mizani kwa madai ya kuwashambulia wateja na wafanyakazi wa baa moja mjini Murang'a. Timothy Kipnusu na taarifa zaidi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Magenge ya wahalifu Mombasa yaonywa
- - MITINDO YA KIPWANI ››
- - Football in Makueni ››
- - Esports in Kenya ››
- 29 Mar 2025 - The Ethics and Anti-Corruption Commission (EACC) is seeking to recover Ksh.22.7 million from former Kenya Film Classification Board (KFCB) CEO Dr. Ezekiel Mutua, on grounds that he illegally obtained the amount through unauthorized pay increases and…
- 29 Mar 2025 - The case has gripped the country's attention for the last week.
- 29 Mar 2025 - The appointment comes as NTSA has been actively seeking to bring reforms to the public transport sector.
- 29 Mar 2025 - Detectives in Kisauni, Mombasa County have arrested two men in connection with the theft of a motor vehicle in Nairobi.
- 29 Mar 2025 - The senior police officer accused the rider of having an affair with his wife.
- 29 Mar 2025 - The radical changes are part of the government restructuring to enhance operations.
- 29 Mar 2025 - The rejection comes barely a day after President Ruto launched the plan in State House, Nairobi.
- 29 Mar 2025 - The accident happened five days after the transport board lifted an NTSA suspension.
- 29 Mar 2025 - Detectives from the Directorate of Criminal Investigations (DCI) have arrested three suspected drug traffickers in Maji Mazuri, Mwiki, Nairobi County and recovered a large consignment of bhang.
- 29 Mar 2025 - Three main suspects arrested in connection with death of 17-year-old Gaala Adan in Wajir; police warn against harmful cultural practices as probe underway.