- 289 views
Suala la uadilifu na mtu anayefaa kushikilia afisi ya umma lilitawala mwanzoni mwa shughuli ya usaili wa wawaniaji walioorodheshwa kuwania nafasi ya uenyekiti wa tume ya uchaguzi, IEBC. Anne Amadi alimulikwa kuhusiana na kashfa ya dhahabu ya mwaka 2023 ambayo alipuuza akisema lilikuwa ni jaribio la mahasimu la kutoa doa uadilifu wake. Naye aliyekuwa jaji wa mahakama ya Afrika mashariki Charles Nyachae alikuwa na wakati mgumu kujibu madai ya kutokuwa mwaminifu katika ndoa yake pamoja na kashfa kuhusiana na waraka uliowasilishwa na vuguvu la Bunge la Mwananchi. Abdiaziz Hashim ana mengi kuhusu siku ya kwanza ya mahojiano ambapo wawaniaji wanne kati ya 11 walisailiwa.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Usaili wa mwenyekiti na naibu wa IEBC waanza Nairobi
- 31 Mar 2025 - The head of the junta in Burkina Faso has pardoned 21 soldiers convicted of involvement in a failed coup in 2015, according to an official decree seen by AFP on Monday.
- 31 Mar 2025 - Police were out in force and businesses and offices closed in key Zimbabwe cities after authorities warned against demonstrations called for Monday to demand that President Emmerson Mnangagwa leave power.
- 31 Mar 2025 - President William Ruto’s women's rights advisor, Harriette Chiggai, has condemned the brutal murder of 17-year-old Gaala Aden Abdi in Wajir County for refusing to be married off to a 55-year-old man.
- 31 Mar 2025 - President William Ruto’s women's rights advisor, Harriette Chiggai, has condemned the brutal murder of 17-year-old Gaala Aden Abdi in Wajir County for refusing to be married off to a 55-year-old man.
- 31 Mar 2025 - Wetangulah says that the competition will take 15 months.
- 31 Mar 2025 - Ruto is set to embark on a five-day tour from Tuesday, April 1
- 31 Mar 2025 - Donald Trump has said he is "not joking" about wanting to serve a third term as US president.
- 31 Mar 2025 - The panel composition has been a contentious issue that has resulted in splits within the Cabinet.
- 31 Mar 2025 - Inside plans to dethrone Nakuru and Bomet governors
- - Chaos as Ruto, Gachagua supporters clash at church in Gatanga